Ndugu zangu tunaoendelea na tukaomba mikopo, naomba kupewa ufafanuzi kidogo. Mimi binafsi niliapply moja kwa moja bodi kwa kuambatanisha fomu ya udahili na viambatanishi vyote vya kunitambulisha kuwa ni mwanachuo ninaeendelea. Sasa hapa kuna wale waliopitia chuoni na sisi tulioomba direct. Je, tulifanya sahihi kiutaratibu? Tusijekuwa tunasubiri mtumbwi air port. Ufafanuz plz