Msherwa
JF-Expert Member
- Aug 4, 2012
- 1,335
- 1,225
Kutokana na kupotea kwa satellite ya Amos 5 mwishoni mwa mwezi uliopita, Kampuni ya Continental Media imeamua kusubiri hadi Spacecom (ambao ndio wamiliki wa amos) watapopata malipo ya bima ya satellite yao ndipo (continental) watapoclaim kurudishiwa pesa za mkataba wao, halafu then ndipo wataporudisha huduma hewani.
Ni kama vile continental sio wa kuwategemea tena coz inawezsekana wakatangaza satellite gani watahamia baadae sana mwakani, Hii ni kwa mujibu ya mmoja wa waajiriwa wa huko, (take it as tetesi (unconfirmed kwa sasa)
so wakuu, ,mwenye dish la 90cm ku band either la kampuni yoyote (continental. azam, startimes) ambalo anaweza kuniuzia (NAHITAJI DISH TU BILA DECORDER WALA WIRES), please anipm, its URGENT!! Ili wengine tuhamie kabisa FTA coz hizi huduma za makampuni yetu unreliable kabisa!!
Pia satellite finder analog,
vyote viwe Mwanza tafadhali.
Ni kama vile continental sio wa kuwategemea tena coz inawezsekana wakatangaza satellite gani watahamia baadae sana mwakani, Hii ni kwa mujibu ya mmoja wa waajiriwa wa huko, (take it as tetesi (unconfirmed kwa sasa)
so wakuu, ,mwenye dish la 90cm ku band either la kampuni yoyote (continental. azam, startimes) ambalo anaweza kuniuzia (NAHITAJI DISH TU BILA DECORDER WALA WIRES), please anipm, its URGENT!! Ili wengine tuhamie kabisa FTA coz hizi huduma za makampuni yetu unreliable kabisa!!
Pia satellite finder analog,
vyote viwe Mwanza tafadhali.