Connects dots hapa


Uharo mtupu hapa , mmebanwa kila kona sasa mnatapa tapa kama bata anayechinjwa watunga hekaya wakubwa nyie
 
Uharo mtupu hapa , mmebanwa kila kona sasa mnatapa tapa kama bata anayechinjwa watunga hekaya wakubwa nyie

Ungeijibu hoja yake ungekuwa umemtendea haki zaidi kuliko kutumia lugha za kuudhi............pole naona umeogelea kwenye maji ya mvua.Na leo imenyesha sana maeneo ya Ubungo mpaka Magomeni...........
 
Ungeijibu hoja yake ungekuwa umemtendea haki zaidi kuliko kutumia lugha za kuudhi............pole naona umeogelea kwenye maji ya mvua.Na leo imenyesha sana maeneo ya Ubungo mpaka Magomeni...........

Ukiona hivyo ujue hana hoja huyo!

Achana nae.
 
Kaka Salary slip ungefanya edit kidogo hasa kwenye TAC WEKA ACT,JCC nadhani inatakiwa kuwa CCJ,wwkuwa hjwa madaraka ya ukuu wa chama ni EL,na muachiaji ni ZZK.

Ukiedit hayo itakuwa powa sana.

Kumbe ameeleweka. Nadhani atakuwa na dhumuni maalumu la kufanya hivyo!
 
Kumbe ameeleweka. Nadhani atakuwa na dhumuni maalumu la kufanya hivyo!

Kale KASHERIA ketu kakutuacha tule mpaka tuvimbiwe na huruhusiwi kusema hata kupiga picha pale tutakapokuwa tumelewa ile MADARAKA WINE.Ukiandika tu viboko thenashara au mamilioni kadhaa yakutoke.............:A S 20::A S 109::A S 109:
 
Kale KASHERIA ketu kakutuacha tule mpaka tuvimbiwe na huruhusiwi kusema hata kupiga picha pale tutakapokuwa tumelewa ile MADARAKA WINE.Ukiandika tu viboko thenashara au mamilioni kadhaa yakutoke.............:A S 20::A S 109::A S 109:

Yaani jko sawa 200%
 

Vipi una connect hii ya Mr six, katiba, chapuo ya mafisadi na kuwa presidential material ambaye ataibuka na kupewa support kubwa ya dola?
 
Mkuu kila siku unakuja na ngonjera mpya kuhusu ACT Makamanda wenzako walisema ZZK Nje ya Chadema ni kama mamba nje ya maji sasa hadithi tena zimebadilika
hakuna kilichobadilika mkuu , siasa si kama tamasha la vodacom coco beach , kwamba juma nature akiimba basi limekwisha , siasa ni msingi , mikakati na mipango , muulize mwigamba idadi ya wanachama wa ACT hadi leo , utalia !
 
Yaani jko sawa 200%

Kwa sasa nimeshajiwekea kwamba sihitaji kusikiliza taarifa za habari maana zitakuwa zile za kutupendezesha wenye nchi yetu,yaani wale wateja wa MADARAKA wine,sidhani kama nitahitaji kusikiliza huko.

Inabidi kingamuzi changu kiwekinashiksa BBC au CITIZEN Kenya basi
 
Yatatokea yale yale ya Mpendazowe ya kuachwa kwenye mataa na mzee six!

Huwa hawajifunzi, na zaidi ni kutokana na kiburi... naliona anguko la Zitto likija kwa kasi mno, hata kama atamwachia Lowassa kiti, kama ilitumika nguvu ya ziada kutoka CCM ili yeye apate Ubunge Kigoma, na kama ilitumika nguvu ya CCM ili apate uenyekiti PAC, na kama CCM wataelewana, Lowassa akakubaliana na maamuzi ya chama au akapitishwa na chama chake atapata wapi hela za kuendeshea chama?

Wananchi wa leo sio wale wa 1995, CCM ina hela sana ila haikubaliki, Zitto angeuja na sera shirikishi, wanachama na wapenzi wagharamie chama chao, sio hii ya kuchota hela kwa EL na kuandaa mazingira, Mfadhili akikata mrija hutaweza kuwashawishi watu wachangie chama, hutaweza kuuza kofia wala tisheti wakati ulizoea kutoa bure!

Subirn
 

Hiki chama kitakufa au kudorora na kubaki historia siku si nyingi.
 

Huyo c mwana chadema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…