kofia ya plastiki
JF-Expert Member
- Jun 9, 2019
- 416
- 409
Kuna rafiki mmoja ameniambia kama uko tayari kuna kazi ya ukonda.. Sijawai ifanya hii kazi hata siku 1 kwa wazoefu hii kazi ikoje?
Kuna zoezi la kufahamu vituo mkuu hii nayo ikojeHujawahi kukutana na konda? Mbona ni kazi ya kujieleza wazi tu.
Kikubwa uwe na suruali yenye mfuko mrefu na isiyo na zipu, hakikisha unakuwa na sauti ya kukoroma ili ukifika kwenye kituo cha basi ulete amsha amsha.
Majina yote ya ndugu uyajue maana abiria ni ndugu zako kabla ya kukupa nauli ila akishakulipa unamuita jina lolote kama OYA, WEWE, BONGE, nk.
Vituo utavijua ndani ya wiki moja. Cha msingi ni kufahamu kwanza vile vituo vikuu.Kuna zoezi la kufahamu vituo mkuu hii nayo ikoje
Kuna wageni mkuuWaambie abirie aliefika aseme mwenyewe kituo chake
Hujawahi kukutana na konda? Mbona ni kazi ya kujieleza wazi tu.
Kikubwa uwe na suruali yenye mfuko mrefu na isiyo na zipu, hakikisha unakuwa na sauti ya kukoroma ili ukifika kwenye kituo cha basi ulete amsha amsha.
Majina yote ya ndugu uyajue maana abiria ni ndugu zako kabla ya kukupa nauli ila akishakulipa unamuita jina lolote kama OYA, WEWE, BONGE, nk.



eti oyaa, bongeVituo watakusaidia abiriaKuna zoezi la kufahamu vituo mkuu hii nayo ikoje
Labda wale wageni mkuuVituo watakusaidia abiria
Haiwezekani gari zima wawe wageni,utafanikiwa tu baada ya routes 3 hiviLabda wale wageni mkuu
🤣🤣🤣🤣🤣Hujawahi kukutana na konda? Mbona ni kazi ya kujieleza wazi tu.
Kikubwa uwe na suruali yenye mfuko mrefu na isiyo na zipu, hakikisha unakuwa na sauti ya kukoroma ili ukifika kwenye kituo cha basi ulete amsha amsha.
Majina yote ya ndugu uyajue maana abiria ni ndugu zako kabla ya kukupa nauli ila akishakulipa unamuita jina lolote kama OYA, WEWE, BONGE, nk.
🤣🤣🤣🤣🤣Hujawahi kukutana na konda? Mbona ni kazi ya kujieleza wazi tu.
Kikubwa uwe na suruali yenye mfuko mrefu na isiyo na zipu, hakikisha unakuwa na sauti ya kukoroma ili ukifika kwenye kituo cha basi ulete amsha amsha.
Majina yote ya ndugu uyajue maana abiria ni ndugu zako kabla ya kukupa nauli ila akishakulipa unamuita jina lolote kama OYA, WEWE, BONGE, nk.
Andika vituo kwenyw karatasi kinachoanza adi cha misho tafuta sare ingia mzigoniKuna rafiki mmoja ameniambia kama uko tayari kuna kazi ya ukonda.. Sijawai ifanya hii kazi hata siku 1 kwa wazoefu hii kazi ikoje?