Connection! Unaweza kazi ya ukonda?

Connection! Unaweza kazi ya ukonda?

Hujawahi kukutana na konda? Mbona ni kazi ya kujieleza wazi tu.

Kikubwa uwe na suruali yenye mfuko mrefu na isiyo na zipu, hakikisha unakuwa na sauti ya kukoroma ili ukifika kwenye kituo cha basi ulete amsha amsha.

Majina yote ya ndugu uyajue maana abiria ni ndugu zako kabla ya kukupa nauli ila akishakulipa unamuita jina lolote kama OYA, WEWE, BONGE, nk.
 
Hujawahi kukutana na konda? Mbona ni kazi ya kujieleza wazi tu.

Kikubwa uwe na suruali yenye mfuko mrefu na isiyo na zipu, hakikisha unakuwa na sauti ya kukoroma ili ukifika kwenye kituo cha basi ulete amsha amsha.

Majina yote ya ndugu uyajue maana abiria ni ndugu zako kabla ya kukupa nauli ila akishakulipa unamuita jina lolote kama OYA, WEWE, BONGE, nk.
Kuna zoezi la kufahamu vituo mkuu hii nayo ikoje
 
Waambie abirie aliefika aseme mwenyewe kituo chake
 
Hujawahi kukutana na konda? Mbona ni kazi ya kujieleza wazi tu.

Kikubwa uwe na suruali yenye mfuko mrefu na isiyo na zipu, hakikisha unakuwa na sauti ya kukoroma ili ukifika kwenye kituo cha basi ulete amsha amsha.

Majina yote ya ndugu uyajue maana abiria ni ndugu zako kabla ya kukupa nauli ila akishakulipa unamuita jina lolote kama OYA, WEWE, BONGE, nk.
eti oyaa, bonge
 
Hujawahi kukutana na konda? Mbona ni kazi ya kujieleza wazi tu.

Kikubwa uwe na suruali yenye mfuko mrefu na isiyo na zipu, hakikisha unakuwa na sauti ya kukoroma ili ukifika kwenye kituo cha basi ulete amsha amsha.

Majina yote ya ndugu uyajue maana abiria ni ndugu zako kabla ya kukupa nauli ila akishakulipa unamuita jina lolote kama OYA, WEWE, BONGE, nk.
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hujawahi kukutana na konda? Mbona ni kazi ya kujieleza wazi tu.

Kikubwa uwe na suruali yenye mfuko mrefu na isiyo na zipu, hakikisha unakuwa na sauti ya kukoroma ili ukifika kwenye kituo cha basi ulete amsha amsha.

Majina yote ya ndugu uyajue maana abiria ni ndugu zako kabla ya kukupa nauli ila akishakulipa unamuita jina lolote kama OYA, WEWE, BONGE, nk.
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Tripu ya kwanza orodhesha vitu kwenye karatasi, ili uwe unawasomea mpaka uzee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom