Mwanaharakatihuru
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 477
- 120
Hayawi hayawi yamekuwa mwana wa nchi kaamua serikali iko kimya bunge kimya mahakama kimya sasa wananchi wanatenda ndio kauli yake nami mwanaharakati huru na muunga mkono ntaandamana. Yote kwenye FB page yake ndekiro tanganyika na public group maandamano
http://www.facebook.com/events/259854067453279/
Anasema "niungeni mkono katika mapambano hata kama nitakufa ila nipeni moyo kwamba nilisimamia nilicho kiamini kuwa ni haki na kweli, maandamano ya amani tarehe 04/07/2012 tatu asubuhi kuanzia ubungo mataa mwambie na mwenzako au share hii link, bunge halizungumzi bali sisi tutatenda"
http://www.facebook.com/events/259854067453279/
Anasema "niungeni mkono katika mapambano hata kama nitakufa ila nipeni moyo kwamba nilisimamia nilicho kiamini kuwa ni haki na kweli, maandamano ya amani tarehe 04/07/2012 tatu asubuhi kuanzia ubungo mataa mwambie na mwenzako au share hii link, bunge halizungumzi bali sisi tutatenda"