s-junior
safi sana huyu mama alikuwa mkorofi sana na hata hamna alichofanya ukerewe,pia kwa jinsi madiwani wa chadema walivyoongoza ukerewe zaidi ya nusu na sasa ukiritimba wa mkurugenzi ukerewe sasa utajulikana.Pia watumishi wa ukerewe walikuwa wakinyanyasika sana sababu ya uongozi wa ukerewe unaofanyia kazi majungu.saaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaafi