Habari zenu wakuu
Nmeandika hii thread nkiuliza kama naweza Fanya computer science o level nimechukua science
Phy D
Chem D
Math C
Bio D na advance nimesoma HGE
Hist C
Geo C
Eco C
Bam D
Naomba kuuliza je Computer science naweza kubaliwa na no chuo gani
Natanguliza shukuran.