DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,131
Liverpool imeshindwa kufuruka mbele ya Crystal Palace katika mchezo wa fainali ya Community Shield uliopigwa leo Wembley, baada ya sare ya 2–2 ndani ya dakika 90 na kupoteza kwa mikwaju ya penati 3–2.
Palace walipata mabao kupitia Jean-Philippe Mateta na Ismaila Sarr, huku Liverpool wakifunga kupitia Hugo Ekitike na Mohamed Salah. Katika penati, Palace walinyakua taji baada ya Justin Devenny kufunga mkwaju wa ushindi, huku Salah, Mac Allister na Harvey Elliott wakikosa.
Palace walipata mabao kupitia Jean-Philippe Mateta na Ismaila Sarr, huku Liverpool wakifunga kupitia Hugo Ekitike na Mohamed Salah. Katika penati, Palace walinyakua taji baada ya Justin Devenny kufunga mkwaju wa ushindi, huku Salah, Mac Allister na Harvey Elliott wakikosa.