Community development

Community development

mmolh

Member
Joined
Apr 27, 2019
Posts
16
Reaction score
1
Wanajamvini ndugu yangu anahitaji msaada wenu,,,ana division 4 ya D 5 kidato cha nne na ana diploma ya community development sasa anahitaji kujua kama anaweza kujinga na degree ya sheria,,,kama ndyo ni chuo gan?
 
Wanajamvini ndugu yangu anahitaji msaada wenu,,,ana division 4 ya D 5 kidato cha nne na ana diploma ya community development sasa anahitaji kujua kama anaweza kujinga na degree ya sheria,,,kama ndyo ni chuo gan?

hawezi jiunga na degree ya sheria bali anaweza akajiunga na degree zinazorelate na na masomo yake mfano socialogy ila awe na GPA ya 3.0 kwendelea
 
Sawa mkuu,,,lkn kama una ufahamu kuhusu hilo ungenifafanulia ili kijana asipate tabu baadae na ajue atakachokuja kufanya mbeleni
 
Anataka sheria,,,ila kama haiwezekan angependa kujua zinazorelate na zenye soko kwa sasa
 
sheria hawezi pata ila atapata kozi zote za social sciences pia kwa sasa hakuna kozi ambayo ina soko la ajira hakuna kabisa asome kisha ajiandae kisaikolojia tuu kupambana na maisha ila sio kuajiriwa naongea kwa experience
 
Wanajamvini ndugu yangu anahitaji msaada wenu,,,ana division 4 ya D 5 kidato cha nne na ana diploma ya community development sasa anahitaji kujua kama anaweza kujinga na degree ya sheria,,,kama ndyo ni chuo gan?
Alisoma wap iyo diploma ya community development naomba unijuze mkuu
 
Back
Top Bottom