Clouds TV Graphics!!!


Halafu ukiangalia vipindi vingi wamecopy EATv inatia kinyaaa... Clouds Tv kuweni creative mnaboa.
 
Nieleze kiutaalamu wamekopy vipi hiyo na kama suala la hati miliki inaelezwaje ndugu - eleza sio una kurupuka tu

WEWE mdiyo unakurupuka kutoa mada, angalia watangazaji wanavyoigana sauti, alafu naskia unakuja Pimp My Ride ile ya Marekani anayofanya X to Z, kwa nini msilete vitu vyenu, mimi ni mpenzi wa MTV tangu 1990 hadi leo, huwa wanabadilisha vipindi kila mwaka. na kamwe huwezi kuona vinafafana.

Tunatoa mawazo kwa lengo la kuboresha. usijifanye unajua wakati hujui wewe.
 
Mkiwafuatilia sana hawa wadudu mtaona wamecopy vitu vingi sana.. Hata jingo yao moja maarufu wameikopy kutoka redio ya UK inayopatikana kwenye intenet inaitwa ministry of sound.. Hapo ndo hawa wadudu waliicopy kwao..
 
Clouds tv si ndo hao hao clouds fm ya kina kibonde ile redio maarufu inayoipigia debe ccm, tutawazika 2015 tutakapoizika ccm
 
Haya maoni yafanyieni kazi itawasaidia.

Ila jamaa humu mnaua sana tuwasaidie wanoreshe tusiwe negative
Huyu kusaga ni Mtanzania.

Ashauriwe Katoa Ajira kibao kwa Vijana!

Wewe unaesema watafunga hawa Vijana watapewa Ajira na Nani?
 

siku ya 1 kuonesha mpira,ule wa yanga na zamalek,
ndipo niliposema,eh kumbe c t.v ni video,
 
Halafu ukiangalia vipindi vingi wamecopy EATv inatia kinyaaa... Clouds Tv kuweni creative mnaboa.

tedo,congrats!hahahah
clouds hapo kwenye ubunifu wa t.v programz wanambwela mbaya,cye tunaiita EATV 2
 
Haya maoni yafanyieni kazi itawasaidia.

Ila jamaa humu mnaua sana tuwasaidie wanoreshe tusiwe negative
Huyu kusaga ni Mtanzania.

Ashauriwe Katoa Ajira kibao kwa Vijana!

Wewe unaesema watafunga hawa Vijana watapewa Ajira na Nani?

huyo ni mtanzania mwenzao,c mtanzania mwenze2,wasingeuchakachua msiba wa bwanake Lulu kama inavoripotiwa,WAMSHAURI WAPAMBE WAKE
 

inawezekana wanataka wa bei rahis,t.v inaishia KIBAMBA
 
Sina utaalam wa graphics lakini ninachofahamu ni kwamba watazamaji wa Clouds TV wasipokuwa makini, soon watakuwa vipofu!

Ndugu hawa clauz hasa management haina uwezo wa kuajiri proffessional sababu hawana malipo mazuri.. So sio rahsi kuwa na grafx desgning ambae ni profsional. Na ni vigumu kukuta mtaalam aliyesomea na kupata degree ya taaluma yoyote kuomba kazi clauz. Hawa jamaa wamezoea vya kuchnja hvyo huokoteza tu wafanyakazi mitaani, kwa kisingizia ana kipaji so tutume sms kwenda 15551 kumchagua.. Na hata uhasibu kwao ni kipaji hvyo tunampigia kura mwombaji. So tusishangae na mtu wao wa graphics alipatikana kwa kupigiwa kura. Mishahara yao kuna tetesi niliskia kwa mmoja wa watangazaji ambae ni rafiki yangu kwamba ni laki mbili mwaka 2009.. Sa ivi yaweza kuwa laki mbili na nusu, so mtaalamu anaweza pewa labda lak tatu, watampata nani? Kaz yenyewe haina off days. Hawa jamaa naona wanawanyanyasa sana vijana kisaikolojia, huwez mlipa mtu lak 2 halaf unampa mkopo wa gari, atalipa deni kwa mda gani? Je ataweza kuhama kazi? Je atahudumiaje gari lenyewe? Mwisho wa siku kwa umaarufu wa kijinga hao watangazaji ndo wanakuwa mameneja wa wasanii ili wawanyonye na kuwapiga mizinga ya mara kwa mara kwa kisingizio cha kumpromoti. Kwa kuwa hii tv na redio yake ni kipenzi cha vijana ningeshauri uongozi uajiri profsionals ili iweze kushndna. Waache mtindo wa kutafuta vipaji, labda kma na taaluma inahusishwa. Naipenda clouds sababu ni ya mtanzania. Nina aleji na vitu vinavyomilikiwa na mageni.

Hayo ni maoni binafsi.
Claaaaauz eefuemu!!!a
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…