CLOUDS si redio ya Kusikiliza


Kaka wasikuumize kichwa wagonjwa hao...
 
Sorry for bringing this, laikini nia yangu msiniache mbali, Nauliza hivi Kibonde bado anaumwa kikohozi au kashapona. Once again, sorry kwa kuingilia mambo

 
Sorry for bringing this, laikini nia yangu msiniache mbali, Nauliza hivi Kibonde bado anaumwa kikohozi au kashapona. Once again, sorry kwa kuingilia mambo
Kaka ile kikohozi inatuliaga tu,haiponagi
 
Karibu 80% humu hususan mapro CDM kila leo mnajinasibu humu oh hatusikiliz hyo redio,oh mi hata siifahamu, imechokwa n.k lakin kila siku lazima mje na habari za huko clouds, mnaoteshwa? Mnajipa tabu wenyewe kwa kujikaangia sumu.
 
kwani kila siku huwa wanatangaza habar za CDM na ccm mpaka tuache kusikiliza sasa mbona ujatuambia tusikilize radio gani???
 
Sifa ya mnafiki ni kuficha jinsi alivyo lakini kumjua ni rahisi sana.Wewe ni CCM tu.Mbona wa ccm hutaji,umetaja cdm tu.
 

source ya kuichukia CHADEMA ni ugomvi kati ya RUGE na MUHESHIMIWA SUGU kuhusu studio iliyotolewa na raisi KIKWETE.kama unakumbuka kipindi cha uchaguzi walikandia kuwa Sugu hatoshnda ubunge kwasababu ni muhuni
 
Ha ha ha!!!! ndugu kulia yako ndio kushoto ya mwenzako na nyuma yako ndio mbele ya mwenzako.
 
Matatizo ya certificate za uandishi wa habari na wamiliki wake kukwepa kuwalipa mishahara mizuri ili wafuate sheria za habari.Hawa yawezekana ni vijana wajanjawajanja wa zamani ambao wao kuhusu mlinganyo wa kihabari hawajui ama wanajua ila kuna kitu nyuma ya pazia
 
Sifa ya mnafiki ni kuficha jinsi alivyo lakini kumjua ni rahisi sana.Wewe ni CCM tu.Mbona wa ccm hutaji,umetaja cdm tu.

haya mkuu CCM wakina makamba,kikwete,mwapachu etc..hapo mkuu sawa eeh?..me chama changu cha wavuja jasho
 
Iliwahi kupewa jina by Dully na Sugu.
Lkn wanapalilia ukuu wa wilaya, too bad rahisi jk hakuwaona
 


Rubbishhhhhh!
 
Vyombo vya habari vina nafasi kubwa saana kuelimisha au kupotosha jamii ndani ya muda mfupi!kwa hiyo basi kama chombo huru kinaegemea upande furani basi hao hawafaiiiiii
 

Acha matusi wee kilaza, Mbona una panic vp Clouds wana bore, nahiyo yote ni kwa7bu Boss wao Kusaga amepewa hela nyingi na serikali ya CCM kwenye Miladi hewa ya Kilimo Kwanza tunajusa yote so ni lazima wajikombe cyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…