mpingauonevu
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 621
- 434
Ukiona wanajikosha kwa ccm ujue hawalipi kodi
Vipi Cloud ingetoa hotuba ya Vincent Nyerere na Mgombea Nasari kisha ikasema gazeti lililopatikana ni Tanzania Daima pekee. Ungekuja kulaumu kwa kuipendelea CDM? bila shaka sivyo ndivyo.
Vipi Cloud ingetoa hotuba ya Vincent Nyerere na Mgombea Nasari kisha ikasema gazeti lililopatikana ni Tanzania Daima pekee. Ungekuja kulaumu kwa kuipendelea CDM? bila shaka sivyo ndivyo.
Vipi Cloud ingetoa hotuba ya Vincent Nyerere na Mgombea Nasari kisha ikasema gazeti lililopatikana ni Tanzania Daima pekee. Ungekuja kulaumu kwa kuipendelea CDM? bila shaka sivyo ndivyo.
U must be an a intelligent person.Mimi nilisikiliza PB on Saturday yote ila baada ya hiyo coverage nilituma sms kwenye no yao walioitoa 15678, nikawauliza mbona coverage ilikuwa kwa CCM pekee je kwa vyama vingine vipi?.Kwa kweli nilitegemea hata angesoma sms yangu ila duuuuuuuu..Kwa ujumla Clouds sio entertainment Radio labda ilipoanza early 2000.Kwa sasa wamenunuliwa na CCM au labda hawalipi kodi kama mdau alivyosema..Sijui ila kama ni redio ya watu lazima iwe mfano.Hata vipindi vyake fulani fulani siku zote ukisikiliza ni KCCM ccm tu..Inabidi wabadilike au tuseme basi na wenyewe wako kama radio Uhuru aka CCCCCCMMMMMMM
Just a charcoal dont expect anything white
Nawasikitikia wale vijana shababi wote wasikilizao clouds radio ya ccm. Miliacha siku nyingi sana kuisikiliza hiyo radio from 2010. Pale ambapo kibonde alipoonyesha kuipendelea wasiwasi ccm na kuiponda waziwazi cdm hewani tena kwenye redia inayodaiwa kuwa ni ya wat na siyo ya ccm. Nilikipenda sana kili=e kipindi cha jahazi, siku yangu ilikuwa haipiti bila kusikiliza na nilikuwa lazima nicheke kwa utangazaji wao. Lakini kwa dosari hile aliyoionesha kibonde. Sijawahi kusikiliza tena.
Its better tukaanzisha kampeni ya zuia kusikiliza clouds ccm radio. Nyumbani, ofisini, kwenye daladala na kwingineko.
Nawasikitikia wale vijana shababi wote wasikilizao clouds radio ya ccm. Miliacha siku nyingi sana kuisikiliza hiyo radio from 2010. Pale ambapo kibonde alipoonyesha kuipendelea wasiwasi ccm na kuiponda waziwazi cdm hewani tena kwenye redia inayodaiwa kuwa ni ya wat na siyo ya ccm. Nilikipenda sana kili=e kipindi cha jahazi, siku yangu ilikuwa haipiti bila kusikiliza na nilikuwa lazima nicheke kwa utangazaji wao. Lakini kwa dosari hile aliyoionesha kibonde. Sijawahi kusikiliza tena.
Its better tukaanzisha kampeni ya zuia kusikiliza clouds ccm radio. Nyumbani, ofisini, kwenye daladala na kwingineko.