Naomba namba mkuu,mi mwenyewe natafuta kazi clinical officerKesho nitakutumia no ya kituo Fulani kiko kurasini
Sijafanikiwa kupata badoAmref, mdh na wengine wanatangaza kila siku wewe uko wapi?
Kwa level yako hyoHabari wakuu,,mimi n kijana nina miaka 23 nimemaliza diploma ya utabibu (clinical officer)2017 nahitaji kazi ,especially kwenye mashirika binafsi,,kwa yoyote anaefaham anisaidie




siku katish tamaaa jaribu at least ungekuwa na added advntg ya monitoring & evaluation na mambo ya project planning na mangmnt hapo ingekuwa pouwa sana
Habari wakuu,,mimi n kijana nina miaka 23 nimemaliza diploma ya utabibu (clinical officer)2017 nahitaji kazi ,especially kwenye mashirika binafsi,,kwa yoyote anaefaham anisaidie
View attachment Clinician-Research Officer - DYNAMIC.pdf
clarise