Clinical officer anatafuta kazi

Clinical officer anatafuta kazi

Jaby'z

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2013
Posts
4,318
Reaction score
7,655
habari wakuu...
nina ndugu yangu kamaliza CO anatafuta kazi sehemu yeyote kwa dsm,

nitashukuru akisaidiwa.
 
hosptali private zote hizo kashindwa kupitapita huko? mbona ajira zao njenje sana
 
hosptali private zote hizo kashindwa kupitapita huko? mbona ajira zao njenje sana
ndio mkuu kwa alivyoniambia, ndio maana nimekuja humu kwasababu hapakosenaki suluhisho.
 
hosptali private zote hizo kashindwa kupitapita huko? mbona ajira zao njenje sana
sasa hivi hali nitete nafasi hazipo hata hospitali za private zimejaa mimi ni mhanga wa hilo
 
sioni umuhimu wa kufahamu chuo alichosomea, taaluma ni ile ile hata ukisoma chuo cha zimbabwe
Sasa kama taaluma ni ileile kwanini unaogopa kutaja chuo alichosoma, mtuu unashida na kazi alafu ukiulizwa maswali unavimba....mwambie huyo ndugu yako akalime matikiti ajira hakuna
 
Sasa kama taaluma ni ileile kwanini unaogopa kutaja chuo alichosoma, mtuu unashida na kazi alafu ukiulizwa maswali unavimba....mwambie huyo ndugu yako akalime matikiti ajira hakuna
mbegu unazo nimuelekeze aje kuchukua mkuu?
 
sasa hivi hali nitete nafasi hazipo hata hospitali za private zimejaa mimi ni mhanga wa hilo
pole cheki mikoa jitrani ndugu sijawahi kusikia kuwa tanzania imetosheka na madaktari
 
Jamani dispensary zote hizi na nyie mnatafuta kweli..?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom