Wewe unapenda kuwa nani?Naombeni ushauri wakuu Kati ya diploma ya clinical medicine na electrical engineering njia ipi ni sahih kwa wakat tuliopo na tunavyoenda mbele
Doctor or engineer!!! Nimeishi kwenye hii dilemma kwa Miaka yote,,, umefika wakat wa kuchagua moja nataman nipate mtu aniongozeWewe unapenda kuwa nani?
Unatamani kuwa daktari au kuwa mhandisi.Doctor or engineer!!! Nimeishi kwenye hii dilemma kwa Miaka yote,,, umefika wakat wa kuchagua moja nataman nipate mtu aniongoze
Kutangaza biashara Instagram, Whatsapp etc.nafikirii ni nzuri zaidi Kwa mbele hukoNaombeni ushauri wakuu Kati ya diploma ya clinical medicine na electrical engineering njia ipi ni sahih kwa wakat tuliopo na tunavyoenda mbele
Shukran kwa ushauri wakoKutangaza biashara Instagram, Whatsapp etc.nafikirii ni nzuri zaidi Kwa mbele huko
Passion ni daktari,,, lakin kitu kinachohusisha Maths Ndio nafikiri naweza kukifanya kwa urahisi zaidiUnatamani kuwa daktari au kuwa mhandisi.
Future Yako ni ipi Kwa badaee,
Nenda kasome kile unacho kipenda zaidi kati ya hizo kozi mbili kiasi Kwamba ukikutana na mchecheto wowote wakati wa kusoma uone ni kama challenge tu.Passion ni daktari,,, lakin kitu kinachohusisha Maths Ndio nafikiri naweza kukifanya kwa urahisi zaidi
Hiyo electrical ni Diploma ama Degree?Naombeni ushauri wakuu Kati ya diploma ya clinical medicine na electrical engineering njia ipi ni sahih kwa wakat tuliopo na tunavyoenda mbele.
Unaelewa maana ya passion lakini?Passion ni daktari,,, lakin kitu kinachohusisha Maths Ndio nafikiri naweza kukifanya kwa urahisi zaidi
Asante sanaMedical doctor ni career nzuri, saving lives etc na kwa bongo inaheshimika sana, inalipa ila sio sana kama ng'ambo. Kazi ya udaktari inaboa sometimes. Engineering inakupa wigo mpana wa kufanya mambo, it's entertaining and fun, inalipa vizuri na ni rahisi kujiajiri. Uchaguzi ni wako
Ni diplomaHiyo electrical ni Diploma ama Degree?
Hiyo clinical medicine unataka uifanye kama ngazi ya kupandia kwenda MD au unataka kuifanyia kazi?Naombeni ushauri wakuu Kati ya diploma ya clinical medicine na electrical engineering njia ipi ni sahih kwa wakat tuliopo na tunavyoenda mbele.