Maumivu nayajua kwa kweli!
Huyu jamaa ana angalia upande wake tu, ana sahau, kuwa mwenzie ata umia.
Siku zote ukiwa hujapitia shida unakuwa una jifikiria wewe tu.
Chukulia wewe una demu wako halafu kuna jamaa, alikuwa ana mpenda lakini hakumwambia ikafika siku wakaonana basi huyo jamaa naye aka mwambia demu wako kuwa ana mpenda, demu wako akawa ana muelewa ila tatizo likawa ni YUKO NA WEWE, unge wish demu wako afanyanje!!?
Ukisha pata jibu, igeuze stori irudishe kwako fanya ambacho ungewish kitokee
*vile ambavyo ungetaka wewe utendewew basi watendee na wengine vivyo hivyo.