Wakuu nategemea kuchukua moja kati ya hizo kozi (Bachelor) , Na nipo dilemma hasa ukizingatia swala la uchaguzi wa course ni gumu.. Ningependa kuchukua ipi ipo marketable na urahisi wa upatikanaji ajira..
Mechanical engineer haina dili....civil engineer ina dili lakini sio sanaaa kwa sababu ya ushindani....nakushauri nenda chemical and processing engineer
Mechanical engineer haina dili....civil engineer ina dili lakini sio sanaaa kwa sababu ya ushindani....nakushauri nenda chemical and processing engineer
Nashukuru kwa ushauri,, Unaweza nipa details kidogo za Chemical and Processing engineering kama sehemu ya kufanyia kazi.. Maana industrial sector haijawa developed
Mechanical engineer haina dili....civil engineer ina dili lakini sio sanaaa kwa sababu ya ushindani....nakushauri nenda chemical and processing engineer