Hakuna tawi la Tumaini linaloitwa Mwika, kwa ninavyojua kuna chuo cha utalii kinaitwa MWEKA COLLAGE OF WILDLIFE MANAGEMENT kipo chini ya TANAPA kama sikosei, ni chuo bora Afrika mashariki kwa masuala ya Wildlife.
acha uboya wewe unaandika utumbo usiojua shaalapuu CHUO KIPO ALIKIANZISHA MWL NYERERE KINAITWA MWEKA NA ADA YAKE NI KUBWA MTOTO WA MASKINI HAWEZI KUSOMA TENA NI CHUO BORA AFRICA WANAFUNZI WA PALE FIELD ZAO WIZARAA YA MALI ASILI