Chuo cha polisi wakaidi agizo Mh Rais

Chuo cha polisi wakaidi agizo Mh Rais

bob kipisto

Member
Joined
May 28, 2013
Posts
5
Reaction score
2
Wakati Rais ametoa mapumziko kwa nchi nzima chuo cha polisi DPA wamekuwa wakiendelea nakazi kama kawaida tokea saa 11 alfaji
 
Si unawajua Polisi wetu walio wengi ni wagumu kuelewa nini kilichotamkwa na watu ambao sio Polisi, inaweza kuwachukua hata miezi ndio wataelewa nini kilichotamkwa!
 
Wakati Rais ametoa mapumziko kwa nchi nzima chuo cha polisi DPA wamekuwa wakiendelea nakazi kama kawaida tokea saa 11 alfaji

Unapoelekea utataka na vituo vya Polisi vifungwe leo wapumzike ili wasikaidi agizo la Rais
 
Wakati Rais ametoa mapumziko kwa nchi nzima chuo cha polisi DPA wamekuwa wakiendelea nakazi kama kawaida tokea saa 11 alfaji

BIG UP CCP. Nchi hii haiwezi kujengwa kwa watu kulala, tungedumisha hayo Mapinduzi kwa kufanya kazi zaidi ya saa nane za kawaida leo
 
Kichwa kimoja hakiweza kuamua mustakabali wa nchi nzima,huyo rahisi(rais)maamuzi kama hayo akafanye kwenye familia yake.kwanin mapinduzi yasienziwe kwa kufanya kazi
Hongera chuo cha polisi
 
tuacheni tulale....heee..
kazi kazi..
hata kulala ni kazi. hongereni wakuu wa nchi...
 
Wakati Rais ametoa mapumziko kwa nchi nzima chuo cha polisi DPA wamekuwa wakiendelea nakazi kama kawaida tokea saa 11 alfaji

FANYA KAZI WEWE WACHA UVIVU. Mkuu wa Chuo huyo anafaa sana!! Karume angetaka walale kufurahia mapinduzi unadhani yale maghorofa unayoyaona wanaishi wananchi yangejengwa?
 
Wakati Rais ametoa mapumziko kwa nchi nzima chuo cha polisi DPA wamekuwa wakiendelea nakazi kama kawaida tokea saa 11 alfaji

Ndugu yangu;

Kwa mana hiyo hata Hospitali na Viwanja vya ndege nao wawe mapumziko?????????


Kuna taasisi ambazo zinatoa huduma kwa jamii huwa hawana mapumziko hata afe Rais wa nchi husika, wao wapo mzigoni.


Polisi hawawezi kupumzika kwa ajili eti Rais katangaza mapumziko.

Tuangalie hoja tunazoweka JF tusije kuudhalilisha ukumbi huu muhimu wa mijadala ukaonekana kama FB.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!!
 
Back
Top Bottom