KERO Chuo cha Mipango Dodoma kuna wanafunzi hadi Mwaka wa Tatu taarifa zao hazijatumwa NACTE

KERO Chuo cha Mipango Dodoma kuna wanafunzi hadi Mwaka wa Tatu taarifa zao hazijatumwa NACTE

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Kuna namna watu wa ADMISSIONS, Chuo cha MIPANGO DODOMA hawawasikilizi Wateja wao kuna Wanafunzi hadi Mwaka wa Tatu sasa Taarifa zao hazijatumwa NACTE.
 
Back
Top Bottom