Chuo cha CBE na tatizo la award verification number[AVN]

Chuo cha CBE na tatizo la award verification number[AVN]

herikipaji

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2016
Posts
1,199
Reaction score
1,377
Hadi leo chuo cha CBE hawajatuma taarifa za wanafunzi wa diploma NACTE .Utaratibu ni inatakiwa taarifa za mwanafunzi aliyehitimu zitumwe NACTE kwa haraka muda huu wa kuomba vyuo ili mwanafunzi husika apewe AVN (award verification number)ambayo ataitumia kuomba chuo chochote atachokua anataka kusoma.

Ili kupata hiyo AVN ni lazima chuo kitume taarifa za taaluma za mwanafunzi NACTE na CBE wamekua hawatumi taarifa kusudi ili watu waamue kurudi pale kwao baada ya kusumbuka sana kupata AVN bila ya mafanikio.

Wanafunzi waamue kuwaachia wao wenyewe CBE wawafanyie maombi bure ya kurudi pale pale sasa kwa wanafunzi wanaotaka kusoma chuo kingine inakua tabu sana au wanafunzi walio mbali na CBE ambao wanataka kuomba chuo online.

Uongozi wa chuo cha CBE Dodoma branch haya mnayofanya siyo sahihi, sasa tumeni hizo taarifa NACTE kama mnavohitajika kufanya.
 
Wanafunzi waamue kuwaachia wao wenyewe CBE wawafanyie maombi bure ya kurudi pale pale sasa kwa wanafunzi wanaotaka kusoma chuo kingine inakua tabu sana au wanafunzi walio mbali na CBE ambao wanataka kuomba chuo online.
Hii imekaaje, nilifikiri ili uweze kudahiliwa lazima uwe na AVN number na chuo kikikuchagua lazima uhakikiwe na NACTE na ndio hapo AVN number inapokuwa muhimu. Kama ni hivyo sioni CBE watakupitishaje kama huna AVN inayotolewa na NACTE. Labda kama NACTE wana mambo ya kienyeji kienyeji, sitegemei kuwa hivyo.
Baada ya kusema hayo yote, nafikiri NACTE itabidi wafikirie jinasi ya kuboresha utoaji wa AVN number ili vijana waweze kuomba udahili mapema iwezekanavyo. Je cheti cha Diploma kwa mfano hakiwezi kuwa na hiyo namba au mwanafunzi wa diploma chini ya nacte hawezi kupewa namba ambayo ataitumia kwenye mitihani yake ambayo itatumika kumtambulisha anapo omba kusomea degree program kupitia TCU?
 
Mimi matokeo yangu yapo nacte lakini nimeomba avn number mpaka leo cjafanikiwa nawaza labda sisi wadiploma haturuhusiwi kwenda kusoma vyuo
 
Hii imekaaje, nilifikiri ili uweze kudahiliwa lazima uwe na AVN number na chuo kikikuchagua lazima uhakikiwe na NACTE na ndio hapo AVN number inapokuwa muhimu. Kama ni hivyo sioni CBE watakupitishaje kama huna AVN inayotolewa na NACTE. Labda kama NACTE wana mambo ya kienyeji kienyeji, sitegemei kuwa hivyo.
Baada ya kusema hayo yote, nafikiri NACTE itabidi wafikirie jinasi ya kuboresha utoaji wa AVN number ili vijana waweze kuomba udahili mapema iwezekanavyo. Je cheti cha Diploma kwa mfano hakiwezi kuwa na hiyo namba au mwanafunzi wa diploma chini ya nacte hawezi kupewa namba ambayo ataitumia kwenye mitihani yake ambayo itatumika kumtambulisha anapo omba kusomea degree program kupitia TCU?
ni mifumo ya kipuuzi ya serikali kufanya biashara, lengo la serikali kuweka AVN kusudi lao lilikuwa ni kupata mapato tu sioni maana ya kumuambia mtu alipie ili kupata AVN wakati registration number/examination number yake ingepaswa kuwa verified na kuwa kwenye unapoomba tu chuo system inaverify yenyewe kama majina yanamatch
 
Hii imekaaje, nilifikiri ili uweze kudahiliwa lazima uwe na AVN number na chuo kikikuchagua lazima uhakikiwe na NACTE na ndio hapo AVN number inapokuwa muhimu. Kama ni hivyo sioni CBE watakupitishaje kama huna AVN inayotolewa na NACTE. Labda kama NACTE wana mambo ya kienyeji kienyeji, sitegemei kuwa hivyo.
Baada ya kusema hayo yote, nafikiri NACTE itabidi wafikirie jinasi ya kuboresha utoaji wa AVN number ili vijana waweze kuomba udahili mapema iwezekanavyo. Je cheti cha Diploma kwa mfano hakiwezi kuwa na hiyo namba au mwanafunzi wa diploma chini ya nacte hawezi kupewa namba ambayo ataitumia kwenye mitihani yake ambayo itatumika kumtambulisha anapo omba kusomea degree program kupitia TCU?

Wanachofanya ni hawatumi AVN kwa NACTE ili uhakikiwe halafu uweze kutumia kuendelea na process ya uombaji wa chuo, wanamjulisha muombaji awatumie taarifa zake baada ya kua amefatilia sana bila mafanikio sasa wafanye wao hapo wanaeka chuo chao ubaki palepale, yani ni ubabaishaji tu.
 
ni mifumo ya kipuuzi ya serikali kufanya biashara, lengo la serikali kuweka AVN kusudi lao lilikuwa ni kupata mapato tu sioni maana ya kumuambia mtu alipie ili kupata AVN wakati registration number/examination number yake ingepaswa kuwa verified na kuwa kwenye unapoomba tu chuo system inaverify yenyewe kama majina yanamatch

Ni kweli, hii ndiyo mana halisi ya system inatakiwa ifanye hivyo vyote bila hizi longolongo lakini inaonesha ni mifumo ya kipuuzi tu kama kawaida.
 
Mimi matokeo yangu yapo nacte lakini nimeomba avn number mpaka leo cjafanikiwa nawaza labda sisi wadiploma haturuhusiwi kwenda kusoma vyuo
Umehitimu chuo gani, na chuo wameshatuma taarifa zako huko NACTE?
 
Back
Top Bottom