PENTAKINYE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2019
- 817
- 829
Ndugu wana jf kama kunamtu anahitaji hilo hapo juu nifuate PM chumba na sebure kinyerezi mtaa wa kariakoo tafadhari
mkuu habari za pm wapi wapi, weka details za nyumba hapa, picha, kodi na mawasiliano mtu akilidhika ndo atakufuata huko PM au kukupigia simu.Ndugu wana jf kama kunamtu anahitaji hilo hapo juu nifuate PM chumba na sebure kinyerezi mtaa wa kariakoo tafadhari