Hili ni banda la kuku au?Habari ya leo wanajamvi,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Chumba na sebule kinapangishwa Makulu, Dodoma njia ya kwenda Udom.
Gharama yake ni nafuu kabisa, tsh. 60,000 kwa mwezi na unalipa miezi mitatu. Kwa mawasiliano zaidi nicheki +255759 688 859
View attachment 1036982
View attachment 1036985
View attachment 1036987
Usikariri mkuu, kuna watu wana mijengo ya maana kwenye maeneo ya kawaida tuu! Usichukulie watu poa aiseeHili ni banda la kuku au?
Wageni ambao mnakuja Dom,sehemu nzuri za kupata vyumba,ni Kisasa,Irazo,Line Polisi,area C,area D,miyuji,Maili mbili.au Uzunguni,
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani mkuu upate nyumba nzuri line polisi, acha masihara, masihara acha si bora useme hata makulu au chaduru duuhHili ni banda la kuku au?
Wageni ambao mnakuja Dom,sehemu nzuri za kupata vyumba,ni Kisasa,Irazo,Line Polisi,area C,area D,miyuji,Maili mbili.au Uzunguni,
Sent using Jamii Forums mobile app