Chumba na sebule kinapangishwa Makulu, Dodoma

Kibuje

JF-Expert Member
Dec 10, 2018
292
286
Habari ya leo wanajamvi,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Chumba na sebule kinapangishwa Makulu, Dodoma njia ya kwenda Udom.
Gharama yake ni nafuu kabisa, tsh. 60,000 kwa mwezi na unalipa miezi mitatu. Kwa mawasiliano zaidi nicheki +255759 688 859
DSCF9920.JPG


DSCF9928.JPG


DSCF9929.JPG
 
Habari ya leo wanajamvi,

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Chumba na sebule kinapangishwa Makulu, Dodoma njia ya kwenda Udom.
Gharama yake ni nafuu kabisa, tsh. 60,000 kwa mwezi na unalipa miezi mitatu. Kwa mawasiliano zaidi nicheki +255759 688 859
View attachment 1036982

View attachment 1036985

View attachment 1036987
Hili ni banda la kuku au?
Wageni ambao mnakuja Dom,sehemu nzuri za kupata vyumba,ni Kisasa,Irazo,Line Polisi,area C,area D,miyuji,Maili mbili.au Uzunguni,


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom