Chumba master na jiko kinapangishwa Mwenge

Chumba master na jiko kinapangishwa Mwenge

Tunzo

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2013
Posts
4,123
Reaction score
2,444
Chumba kipo Mwenge opposite magorofa ya Jeshi near TRA, chumba ni master (self) na jiko bei ni 180,000, per month maongezi yapo maji yapo na nisehem salama.

Pia Kuna nyumba Kama Kawa, kama unahitaji nyumba na vyumba nichek kwa 0713415537.
 
mhhhh si ndo hapo bomoabomoa imepita juzi nasikia watarudi tena!
 
Vyumba bado vipo, na nyumba
 
Mkuu, nahitaji kuanzia tareh 25 January, vyumba 2 na sebule , jiko. Wastani hupatikanaje ktk maeneo yako ya udalali? Maji na UMEME, ulinzi na kufikika gari.
0687072066
 
Madalali mnasababisha nyumba zipande bei bila sababu ya msingi. Kaja Magufuli nyumba tutakuwa tunalipa mwezi kwa mwezi hamna cha miezi sita wala mwaka. Bei zitapangwa na Serikali kutokana na eneo na standard ya nyumba.
Madalali mkatafute kazi ya kufanya
 
Mkuu, nahitaji kuanzia tareh 25 January, vyumba 2 na sebule , jiko. Wastani hupatikanaje ktk maeneo yako ya udalali? Maji na UMEME, ulinzi na kufikika gari.
0687072066

Mwenge, kjitonyama, sinza, survey, makongo mpaka mbezi tangi bovu nakuendelea, nzuri zinaanzia 350,000 ukiwa tayari nitafute
 
Madalali mnasababisha nyumba zipande bei bila sababu ya msingi. Kaja Magufuli nyumba tutakuwa tunalipa mwezi kwa mwezi hamna cha miezi sita wala mwaka. Bei zitapangwa na Serikali kutokana na eneo na standard ya nyumba.
Madalali mkatafute kazi ya kufanya

Jenga yako mkuu acha kulia Lia.. Nani kakuambia Dalali anapanga bei ya nyumba? Usione mtu anapost kitu hapa hana kazi ya kufanya, acha kutegemea kamshahara Kako ndugu utalia Lia ukija kutafutia nyumba unanilipa ya mwezi ila heri yangu mimi nina Kwangu simlipi mtu kodi, utabaki kulia Lia
 
Nina hitaji chumba na choo na ikiwezekana na jiko kwa mwezi mmoja. Kuna msafiri anakuja hapo dar na atakaa mwezi mmoja tu? Bei?
 
Nina hitaji chumba na choo na ikiwezekana na jiko kwa mwezi mmoja. Kuna msafiri anakuja hapo dar na atakaa mwezi mmoja tu? Bei?

Ni ngumu kupata mkuu
 
Chumba kipo Mwenge opposite magorofa ya Jeshi near TRA, chumba ni master (self) na jiko bei ni 180,000, per month maongezi yapo maji yapo na nisehem salama.

Pia Kuna nyumba Kama Kawa, kama unahitaji nyumba na vyumba nichek kwa 0713415537.

Nahitaji chumba kimoja master maeneo ya sinza laki moja kwa mwezi
 
Back
Top Bottom