Tunzo JF-Expert Member Joined Feb 1, 2013 Posts 4,123 Reaction score 2,444 Sep 12, 2014 #1 Chumba kipo mwenge mitaa ya TRA kinapangishwa kwa mwezi 80,000, kwa maelezo piga 0713415537
M mama wa wili Member Joined Jun 10, 2014 Posts 40 Reaction score 6 Sep 12, 2014 #2 Ni chumba, sebule na choo au chumba tu?
KANCHI JF-Expert Member Joined Sep 3, 2011 Posts 1,532 Reaction score 230 Sep 12, 2014 #3 Tunzo said: Chumba kipo mwenge mitaa ya TRA kinapangishwa kwa mwezi 80,000, kwa maelezo piga 0713415537 Click to expand... Kina kila kitu ndani namanisha kitanda, vyombo, kabati etc kwa hiyo mimi nakuja na nguo zangu tu au..........
Tunzo said: Chumba kipo mwenge mitaa ya TRA kinapangishwa kwa mwezi 80,000, kwa maelezo piga 0713415537 Click to expand... Kina kila kitu ndani namanisha kitanda, vyombo, kabati etc kwa hiyo mimi nakuja na nguo zangu tu au..........
Tunzo JF-Expert Member Joined Feb 1, 2013 Posts 4,123 Reaction score 2,444 Sep 12, 2014 Thread starter #4 KANCHI said: Kina kila kitu ndani namanisha kitanda, vyombo, kabati etc kwa hiyo mimi nakuja na nguo zangu tu au.......... Click to expand... Hahaa mkuu umezoea kukaa uswahilini.. na kama mtu akikuwekea hivyo bac kakuoa?
KANCHI said: Kina kila kitu ndani namanisha kitanda, vyombo, kabati etc kwa hiyo mimi nakuja na nguo zangu tu au.......... Click to expand... Hahaa mkuu umezoea kukaa uswahilini.. na kama mtu akikuwekea hivyo bac kakuoa?
Ze Heby JF-Expert Member Joined Jun 22, 2011 Posts 5,795 Reaction score 6,442 Sep 12, 2014 #5 Tunzo said: Chumba kipo mwenge mitaa ya TRA kinapangishwa kwa mwezi 80,000, kwa maelezo piga 0713415537 Click to expand... Ni self au?
Tunzo said: Chumba kipo mwenge mitaa ya TRA kinapangishwa kwa mwezi 80,000, kwa maelezo piga 0713415537 Click to expand... Ni self au?
M mama wa wili Member Joined Jun 10, 2014 Posts 40 Reaction score 6 Sep 12, 2014 #6 Hahahaha umenifuraisha sana@ Kanch. asa jibu bas ni chumba kimoja au jiko na choo vimo?@Tunzo
Tunzo JF-Expert Member Joined Feb 1, 2013 Posts 4,123 Reaction score 2,444 Sep 12, 2014 Thread starter #7 mama wa wili said: Hahahaha umenifuraisha sana@ Kanch. asa jibu bas ni chumba kimoja au jiko na choo vimo?@Tunzo Click to expand... dah! namba zipo piga! ya ni kimoja
mama wa wili said: Hahahaha umenifuraisha sana@ Kanch. asa jibu bas ni chumba kimoja au jiko na choo vimo?@Tunzo Click to expand... dah! namba zipo piga! ya ni kimoja
Tunzo JF-Expert Member Joined Feb 1, 2013 Posts 4,123 Reaction score 2,444 Sep 13, 2014 Thread starter #8 namba ipo kwa maelezo mkuu