Chumba kinapangishwa Mabibo, Dar

Chumba kinapangishwa Mabibo, Dar

Joined
Feb 7, 2019
Posts
25
Reaction score
9
Habari Wana jf ,kama kichwa Cha habari kinavyojieleza na chumba kipo maeneo ya mabibo jirani na chuo Cha NIT chumba ni kizuri mazingira ni mazuri na usalama wa kutosha hakuna mwenye nyumba wapo wapangaji tu, Kodi ni miezi sita na 50000 kwa mwezi na 50000 ya dalali, kwa mawasiliano zaidi nicheki 0672087564 au 0754208601.
1559376311098.jpeg
1559376350069.jpeg
1559376372893.jpeg
1559376400849.jpeg
 
Kama una nyumba yako upo sahihi lakini Kama huna nyumba basi utakuwa na matatizo kwenye akili aliehama hicho chumb ameishi kwa miaka kumi mpaka kahamia kwake, jiheshimu brother Kama kitu upendezwi wewe basi usiwapotoshe wengine halafu isitoshe hiyo picha ujafika maeneo husika kuangalia,min sio mhuni mwenzio was kupoteza mud mitandaoni naheshima zangu,tuheshimiane kaka samahni Kama nitakuwa nimekukwza kwa kukupa maelezo hayo marefu.asubuhi njema
 
Kama una nyumba yako upo sahihi lakini Kama huna nyumba basi utakuwa na matatizo kwenye akili aliehama hicho chumb ameishi kwa miaka kumi mpaka kahamia kwake, jiheshimu brother Kama kitu upendezwi wewe basi usiwapotoshe wengine halafu isitoshe hiyo picha ujafika maeneo husika kuangalia,min sio mhuni mwenzio was kupoteza mud mitandaoni naheshima zangu,tuheshimiane kaka samahni Kama nitakuwa nimekukwza kwa kukupa maelezo hayo marefu.asubuhi njema
Kiukweli mimi mwenyewe huwa sipendi dharau, watu tunaishi kwenye vyumba vibaya kuliko hicho ila hicho chumba sio kwa 50000 bro kuwa serious
 
Yaani hayo ndio mazingira mazuri?
 
Da, nimesoma maelezo zilivyoanza picha nimeishia kucheka tu.
 
Nikiona mazingira kama hayo huwa nawaza kwanin mng'ang'anie kukaa Daaaslam pachafu, jotroo, fangasi za kutosha, kipindipindu, dengue nk. Njooon huku Kibondo,Kaliua, Mpanda, Chunya, Mbalali nk nk ardhi ya kutosha na mazingira saaaafi ya kuishi. Sifa za kijinga kutaka usemwe unaishi Dar kumbe msindikizaji tuuu kusoma Plate namba za wenzenu
 
Back
Top Bottom