chumba cha kupanga

uso wa fedha

New Member
Joined
Jul 14, 2015
Posts
4
Reaction score
0
Habari wana jamii forum,chumba kimoja cha kupangisha kinapatikana maeneo ya mission darajani mbagala kiko katika hali nzuri,huduma kama umeme,maji zinapatikana!bei ni tsh30 kwa mwezi kuchangia umeme ni tsh7000 kwa mwezi!kwa uhitaji 0757524428!karibuni sana!be blessed!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…