Jenga yako. unaweka masharti kibao halafu unajipangia bei
Vitu vizuri ni gharama kaka. Mtu azungushe fensi aweke kigae chini juu ceiling nzuri kuna geti na mlinzi maji mpaka chooni halafu ulipe sh arobaini. aliyejenga kakuchukulia dada'ko ?
mjomba kwa masharti hayo bora uende mbezi mwisho