Lady Unbreakable
Member
- Feb 20, 2013
- 33
- 5
habari zenu, nina shida ya chumba cha kupanga(self) maeneo ya mwenge,sinza,makumbusho,victoria,ubungo.
kiwe na umeme na maji.
bajeti yangu ni 100,000.
NB: Kodi miezi sita.
asante.
kiwe na umeme na maji.
bajeti yangu ni 100,000.
NB: Kodi miezi sita.
asante.