Chumba cha kupanga mwananyamala,tabata,kurasini

Chumba cha kupanga mwananyamala,tabata,kurasini

Ashuraju

Member
Joined
Dec 6, 2012
Posts
36
Reaction score
2
habari zenu, naomba msaada wa chumba cha kupanga,self contained, chumba na sebule,kiwe na tiles au sakafu nzuri. bajeti yangu ni 100,000 nina kodi ya miezi 3..
mwenye taarifa ya dalali mzuri pia nitashukuru
 
Weka wazi eneo ualotaka kupanga mkuu, kama ni kwa mtogole poa tu au?
 
me nina laki 1 na 30 kwa mwezi, nahitaji chumba(self) na sebule mitaa ya kurasini, nahitaji kwa haraka sana mwezi huu.. kama kuna uwezekano niPM
 
me nina laki 1 na 30 kwa mwezi, nahitaji chumba(self) na sebule mitaa ya kurasini, nahitaji kwa haraka sana mwezi huu.. kama kuna uwezekano niPM

Mdau kurasini kunavunjwa ucje ukatapeliwa na hata hvyo offer yako ndogo labda usogee kijichi
 
daaah me nafanya kazi posta mitaa ya NBC ni mitaa gani itafaa kukaa kwa location ya ofisi yangu? niko serious
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom