Una bonge la gari unaishi nyumba ya kupanga!!!!. Samahani mkuu, hapa Nilikuwa najaribu kukumbuka maneno ya Nay wamitego.
Mm siwajui, Ila nasikia Munyu ni madalali wanaopatikana moro, wao husaidia watu kupata makazi na viwanja. Jaribu kutafuta mawasiliano yao, madalali wanasaidia ila wanaboa kwenye gharama zao tu