Chumba cha kupanga kinahitajika..

TANMO

Platinum Member
Joined
Apr 12, 2008
Posts
12,091
Reaction score
12,713
Wakuu kwa mwenye kuweza kunisaidia kufanikisha kupata chumba maeneo hususani Ubungo, Mwenge, au Mabibo nitashukuru, Bajeti Tzs 50,000 kwa chumba pekee au Tzs 100,000 kwa chumba na sebule au chenye choo na bafu ndani. Preferably sehemu yenye fensi na uhakika wa maji na umeme.

Pia maeneo mengine ya wilaya ya kinondoni yanaweza kukubaliwa.

Ushauri wowote utapokelewa, natanguliza shukrani.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…