Chukua muda wako kidogo kusoma hii!!

Chukua muda wako kidogo kusoma hii!!

WISE 2012

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2012
Posts
634
Reaction score
460
Kuna siku marafiki tutatengana hatutaonana tena wala kuwasiliana.💌

Wengine umri utakuwa umeenda🕢 sana wamekuwa wazee na wengine hawatakuwepo duniani.

Tutakumbuka tulivyokuwa tunachat💌 tutakumbuka tulivyokuwa tunapendana na kushirikiana tutakumbuka tulivyokuwa vijana wenye nguvu tukikimbizana huku na kule lkn hatutaweza kuwa pmj tena.

Labda bado tutakuwa na picha 👤za marafik zetu tutaziangalia na kukumbuka mengi.💬

Watoto na wajukuu zetu watatuuliza
"Ni kina nani hawa👭?"

Kwa maskitiko tutawaambia "Ni wapendwa wetu tulioshirikiana na kupendana nao" 

Huzuni zitatufunika maana hakutakuwa na njia ya kuonana tena zaidi ya kukumbuka enzi zetu!

Huu ni wakati wa kufurahi na marafiki    👭 na kutendeana mema ili tusije kujuta baadae.

Huu ni wakati wa kupendana na kila aliye karibu na wewe.

Onyesha upendo  na moyo wa furaha kwa kila unaechat nae kwa sasa.💞

Tunza kumbukumbu za yale mazuri unayotendewa na marafiki zako

Tunza picha zake kwa bidii👥👤

Kama unakubaliana na mimi wakumbushe marafiki zako wote kuwa upendo ni kitu cha thamani sana!!

Mkumbushe kila unayechati naye kuwa hataendelea kuchat na wewe milele hivyo autumie huu wakati  vizur. 

Kama na mimi ni mmojawapo nikumbushe kukuthamini na kukutendea mema 💕💞
 
Kweli hatupo milele tukumbushane kujiandaa na kutengeneza mahusiano yetu na Mungu.
 
Eehh Mungu tupe nguvu na Afya ili tuzidi kukumbukana kupendana na kusaidiana najua pakiwa na Mungu yote hayo hutayaona wala.kuyajutia
 
Kha! Nyie ndio mliokimbia umande. Title inatakiwa ielezee kile unachozungumzia. Kwenye somo la kiswahili kulikuwa na swali, unapewa insha, alafu unaambiwa uitafutie kichwa cha habari. Nadhani wakati hii topic inafundishwa, hukuwepo darasani...
 
Back
Top Bottom