Kwa mfano leo, wewe mwanachi wa Young African unayetamani mnyama afungwe, umekaa chini ukajitafakari kwa makini kwamba ni sahihi unachofanya? Wabongo tuko tayari kushabikia al hilal au mazembe ila sio vya nyumbani. Hujachelewa, anza sasa
Utani ubaki ligi kuu huku kwingine tupeane support