sportstore
JF-Expert Member
- Apr 5, 2023
- 453
- 1,612
1.Eliud kipchoge (38) bingwa wa MAJOR marathons mara 11
2.Novak Djokovic (36) bingwa wa tennis Grand slam 24
3.Christian Ronaldo ( 38) mshindi wa balloon d'Or award mara 5
Note:hizo nimeweka major awards bado wameshinda tournament nyingine nyingi sana.
Ukiwaangalia wote hawa kwanza hawatumii POMBE, life style yao ya chakula ni more health.zipo sababu zingine kama nidhamu etc
Kijana ukitaka upate mafanikio ya kuvunja RECORD ZA DUNIA kwenye michezo na pia uwe kwenye GAME MUDA MEREFU jiepushe na pombe na kula healthier. ..Ukiwaangalia hawa wote hakuna aliyeko mbio kustaafu. Bado damu iko moto
View attachment 2763610View attachment 2763609View attachment 2763611
2.Novak Djokovic (36) bingwa wa tennis Grand slam 24
3.Christian Ronaldo ( 38) mshindi wa balloon d'Or award mara 5
Note:hizo nimeweka major awards bado wameshinda tournament nyingine nyingi sana.
Ukiwaangalia wote hawa kwanza hawatumii POMBE, life style yao ya chakula ni more health.zipo sababu zingine kama nidhamu etc
Kijana ukitaka upate mafanikio ya kuvunja RECORD ZA DUNIA kwenye michezo na pia uwe kwenye GAME MUDA MEREFU jiepushe na pombe na kula healthier. ..Ukiwaangalia hawa wote hakuna aliyeko mbio kustaafu. Bado damu iko moto
View attachment 2763610View attachment 2763609View attachment 2763611