Ukifuatilia mijadala ya wafuasi wa lowasa na udhaifu hoja wanazotoa, utagundua wamekumbwa tu rapsharapsha..! Natamani angekuwepo Nyerere akapiga kura ya VETO, kama alivyofanya wakati 80% ya watanzania walipokataa vyama vingi.
Wewe umejua kuna umoja wa mataifa umeshindwaje kujua kazi za umoja huyo? Eti chopa imekodiwa umoja wa mataifa? Nafikiri wapiga kura watahiniwe kwanza kabla hawajaruhusiwa kupiga kura.
Ukifuatilia mijadala ya wafuasi wa lowasa na udhaifu hoja wanazotoa, utagundua wamekumbwa tu rapsharapsha..! Natamani angekuwepo Nyerere akapiga kura ya VETO, kama alivyofanya wakati 80% ya watanzania walipokataa vyama vingi.
Ukifuatilia mijadala ya wafuasi wa lowasa na udhaifu hoja wanazotoa, utagundua wamekumbwa tu rapsharapsha..! Natamani angekuwepo Nyerere akapiga kura ya VETO, kama alivyofanya wakati 80% ya watanzania walipokataa vyama vingi.
Toa ujinga wako hapa,huu mwaka hata iweje ccm hampati kitu kabisa,mnajifanya mapunguani hamuoni,mikutano yote ya ccm mkiuliza watu rais ni nani? Wanawajibu ni Lowassa bado tu hamshtuki kwa jinsi mlivyo wajinga,eti unajiita John F.Kennedy usichafue jina safi,tajiri na lenye hekima na busara wakati wewe ni kiazi tu,huna hata akili unajifananisha na mtu aliyepata kuwa rais wa taifa kubwa,unadhani wamarekani wangekuwa wajinga kama wanachama wa ccm wangekuwa hapo walipo? Wapo hapo kwa kuwa serikali zao zote ktk awamu zote hawakuwa mafisadi kama ccm,mwaka huu hamchomoki kabisa,na mkiua The Hague inawasubiri kwa hamu mkanyee ndoo washenzi nyie,siri zote hadharani wananchi hawawataki kabisa na mmepanga kushinda kwa nguvu hata ikibidi kuua,TUKUTANE OCT 25.
Wewe umejua kuna umoja wa mataifa umeshindwaje kujua kazi za umoja huyo? Eti chopa imekodiwa umoja wa mataifa? Nafikiri wapiga kura watahiniwe kwanza kabla hawajaruhusiwa kupiga kura.