Uchaguzi 2020 Chondechonde Vyama vya Upinzani, waacheni Wabunge waliochaguliwa na Viti Maalum wakatuwakilishe

Matokeo ya tunayo yafanya leo pande zote mbili yatatupa nafasi ya kuingalia demokrasia ya vyama vingi kwa macho ya miwani.

Sina hakika kama pande zote zinachukua hatua sahihi. Kati yetu mmoja atapoteza kuliko alivyodhani.

Let's keep watching the political development with keen eyes while open.
 
Mkiwazuia hao mtetezi wetu atakuwa nani kule bungeni?

Muendelee kupigania haki za waliodhurumiwa wakati waliopewa haki wakiendelea kutuwakilisha, vinginevyo sisi tutakuwa wakiwa hatutakuwa na mtetezi.

Kama mjuavyo wale wa upande wa pili hawatakuwa na uwezo wa kuhoji lolote zaidi ya kuunga mkono na kupongeza hata kama halitakuwa na maslahi kwetu sisi wanyoge, hilo ni ombi ila mkifanya tofauti nitaandamana peke yangu.
Kalale na mkeo,haya hayakuhusu
 
Maendeleo hayawezi kujadiliwa na wabunge wa kijani zaidi wanakwenda kuugeuza ukumbi wa bunge kuwa ukumbi wa Chimwaga.
Naelewa mkuu. Ukinisoma between the lines utanielewa nini nimeandika hapo. Hiyo lugha niliyoiweka hapo tuko pamoja kabisa na hicho ulichoweka wewe. Tunasubiri maendeleo ya chama kimoja baada ya wale waliokua wanayarudisha nyuma kuwekwa pembeni.
 
Kumbe upinzani ni wa muhimu mjengoni!??. Siyo wanaturudisha nyuma!?
Katika taratibu tano za kumshugulikia mpinzani wako, moja Inataka kwenye political contest : Mpinzani wako lazima apigwe na achakae sana, kiasi kama asiweze kabisa kuwa na uwezo wa kurudusha mashambulizi.

Na hata ikitokea anaweza kurudusha mashambulizi basi kupitia kuchakaa kwa kipigo chako kifikia Mpinzani hata akijibu mashambulizi yanatakiwa yake hafifu kiasi hakuna madhara yoyote utakayopata kwa kujibu mashambulizi yako.
 
Mkiwazuia hao mtetezi wetu atakuwa nani kule bungeni?

Muendelee kupigania haki za waliodhurumiwa wakati waliopewa haki wakiendelea kutuwakilisha, vinginevyo sisi tutakuwa wakiwa hatutakuwa na mtetezi.

Kama mjuavyo wale wa upande wa pili hawatakuwa na uwezo wa kuhoji lolote zaidi ya kuunga mkono na kupongeza hata kama halitakuwa na maslahi kwetu sisi wanyoge, hilo ni ombi ila mkifanya tofauti nitaandamana peke yangu.
Uchaguzi umeisha sasa kampeni za nini tena,tuchape kazi mambo mengine hayatuhusu.
 
Chadema wana qualify kupata wabunge wa viti maalumu. Requirement ni kura za wabunge zifike at least 5% na chadema wamefika na kuzidi. Idadi inategemea na % juu ya hiyo 5%.
Wana qualify kivipi wakati uchaguzi haukuwa huru?
 
Wana qualify kivipi wakati uchaguzi haukuwa huru?
Katika matokeo hayohayo yenye "sarakasi" hicho "walichopewa" CHADEMA kinawapa sifa ya kuteua wabunge wa viti maalumu. Suala la kukubali kuteua au kutoteua linabaki kwenye uamuzi ndani ya chama.
 
Mkiwazuia hao mtetezi wetu atakuwa nani kule bungeni?

Muendelee kupigania haki za waliodhurumiwa wakati waliopewa haki wakiendelea kutuwakilisha, vinginevyo sisi tutakuwa wakiwa hatutakuwa na mtetezi.

Kama mjuavyo wale wa upande wa pili hawatakuwa na uwezo wa kuhoji lolote zaidi ya kuunga mkono na kupongeza hata kama halitakuwa na maslahi kwetu sisi wanyoge, hilo ni ombi ila mkifanya tofauti nitaandamana peke yangu.
Hatututaki.Bunge la sasa halikuchaguliwa na wananchi bai lilichaguliwa na NEC na wakurugenzi
 
Mkiwazuia hao mtetezi wetu atakuwa nani kule bungeni?

Muendelee kupigania haki za waliodhurumiwa wakati waliopewa haki wakiendelea kutuwakilisha, vinginevyo sisi tutakuwa wakiwa hatutakuwa na mtetezi.

Kama mjuavyo wale wa upande wa pili hawatakuwa na uwezo wa kuhoji lolote zaidi ya kuunga mkono na kupongeza hata kama halitakuwa na maslahi kwetu sisi wanyoge, hilo ni ombi ila mkifanya tofauti nitaandamana peke yangu.
Mwenye nchi ameshasema wapinzani wametuchelewesha sana miaka yote hii 60 ya Uhuru wetu wapinzani wamekuwa kikwazo.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom