chichariton
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 238
- 260
Bado sijapata aisee. Kumbe kuwa first year sio guarantee kuwa utapata?Duuh ha ha ha
Ngoja niende library yangu ya picha labda ninaweza kupata
Umeshapata chumba Chole?Sio kila first year atapata mkuu unless utabebwa
mwenye kujua utaratbu wa kupata joinng instructions na admssion kwa wale wa diploma anijuze,nipo mbali na dar.please!npo masaka UGANDA.