mke mwenzangu upo???ndio twajuana.....
Tena twajuana kwa vilemba....loh
upo mheshimiwa?? mzima wewe?Twajuana wengine mpaka kwa majina ya utotoni khaa! Kwani vipi?
Mi sio Mdau Kiviiile wa JF ni vile tu nna Interest kadhaa humu hata ni kaactivate ID
Sasa katika Forums Zote lakini hii Forum yenu Kiboko ...huweZ ku intervEne kwenye topic nyingi coz Hutaelewa hata Ukielewa contents ni Personal...
Sa ndio nauliza mnajuana ama ndio JF long time kitamboo ?
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
ndio twajuana.....
Tena twajuana kwa vilemba....loh
Twajuana wengine mpaka kwa majina ya utotoni khaa! Kwani vipi?
ndio twajuana.....
Tena twajuana kwa vilemba....loh
Mi msWahili wa MurEba
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Mi msWahili wa MurEba
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums