Historia inasema kuwa binadamu wa kwanza alianza kuonekana hapa Tanzania huko Arusha laitoria na kuna nyayo ambazo utafiti unaonesha ni miaka milioni 4 sasa tangu kuwepo kwa binadamu.
Lakini kalenda tuliyonayo kwasasa hesabu yake inasema ni miaka 2000, sasa je hii inakaaje?
imekaa vibaya!, imekalia tackle Moja hiyo, haijatulia..Kuhusu calenda achana nayo wewe anza kuhesabu pale tu ulipozaliwa mpaka sasa mengine yatakuzidi kimo mkuu, jali harakati zako achana na Historia, historia ni lwa ajili ya Mind Games
imekaa vibaya!, imekalia tackle Moja hiyo, haijatulia..Kuhusu calenda achana nayo wewe anza kuhesabu pale tu ulipozaliwa mpaka sasa mengine yatakuzidi kimo mkuu, jali harakati zako achana na Historia, historia ni lwa ajili ya Mind Games
We boya huna akili na umeweka picha ya mwamba la chemia rais wangu bora mwenye msimamo...iko hivi miaka 2000 imeanza kuhesabiwa tangu yesu aje duniani..usinichoshe rudi shule
We boya huna akili na umeweka picha ya mwamba la chemia rais wangu bora mwenye msimamo...iko hivi miaka 2000 imeanza kuhesabiwa tangu yesu aje duniani..usinichoshe rudi shule
Uhai wa viumbe ikiwemo binadamu unaelezewa kwa kisayansi na mwana biolojia nguli siri ya uhai kuanzia celli. Swali kwanini binadamu asiwe na macho 3 au miguu minne pia kiumbe ngombe sababu ya kuzaliwa na miguu minne n.k
Nick Lane: Origin of Life, Evolution, Aliens, Biology, and Consciousness | Lex Fridman Podcast# 318
Nick Lane is a biochemist at UCL and author of Transformer, The Vital Question, and many other amazing books on biology, chemistry, and life
Source : Lex Fridman