Hakutaka kuaibishwa lol! Kuna mwarabu alienda Zambia sasa wazambia wakiitana wanaanza na 'mamdalaa' sasa muarabu akawa anadhani wanaitwa Abdallah,aliporudi kwao akawasimulia wenzake nimeenda Zambia kila mtu anaitwa Abdallah majina mengine sijui hawayapendi.