Antennah
JF-Expert Member
- Oct 14, 2015
- 6,598
- 8,439
Huyu jamaa anajitahidi sana kujaribu jaribu juhudi za kujiinua tena.......
kwa hii ngoma aliotoa akiwa kamshirikisha Q chillah ni dhahiri jamaa hajachoka kujaribu.
ila daahh.......kwa sikio langu lilichokisikia.....mshkaji ile sauti yake imekwisha kabisa na sasa anailazimisha tu
Pumzi nayo imekata yooote.....lkn Q chillah katendea kaz sana nafasi yake. SIJUI KAMA KAACHA KUPIGA VILE VILAINI LAKN.
Mlatinoh king
kwa hii ngoma aliotoa akiwa kamshirikisha Q chillah ni dhahiri jamaa hajachoka kujaribu.
ila daahh.......kwa sikio langu lilichokisikia.....mshkaji ile sauti yake imekwisha kabisa na sasa anailazimisha tu
Pumzi nayo imekata yooote.....lkn Q chillah katendea kaz sana nafasi yake. SIJUI KAMA KAACHA KUPIGA VILE VILAINI LAKN.
Mlatinoh king