Huo wote ni Uongo, na huyo Mwaka mm nimekutana naye hajalalamika kuwa kaibiwa
Hii ni tabia ya Mashabiki, hata Jimbo la Dododma, Mtera, Bahi kote ni lawama, maamuzi ni Idadi ya kura na Kamati ya Siasa iliamuaje. Kwa 2010 Matokea hayakubadilishwa mkoa wa Dodoma, tungemsikia kafikisha suala hilo NEC, CC
Ushauri mzuri mmepewa na
Bobuk