Chezea wachagga na mali...

Chezea wachagga na mali...

pmwak

Member
Joined
Mar 13, 2013
Posts
26
Reaction score
3
Ndani ya meli,wa2 makabila tofauti walikua na mizigo,meli ilizidiwa ilibidi mizigo ipunguzwe,Mzungu akatupa computer, akasema"kwe2 zpo tele,
Mchina akatupa box la cmu akasema"kwetu zipo tele" Mmasai akatupa Ng'ombe akasema hizi zipo kibao kwetu.
Mchaga anahaha hajui atupe nn kila kitu chake anakionea uchungu ,ghafla alimtumbukiza Mmasai kwenye maj!, akasema"Yesu na maria hawa wapo tele ARUSHA".

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Hahaha pmwak hiyo kali. Sana yan hawana utu wanajali pesa monii yesu na maria mpka kwenye mambo yetu yale ya six mama yanguu uwii ukimaliza utasema me nasoma gazeti haha

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom