sayoo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2014
- 5,272
- 7,870
7 kwa sababu ili maji yatoke kwenye tanki no 7 lazima yajae kwanza kwa kuwa bomba la maji la tank no 7 lipo juu ambako yale maji yaliyoingia yatakuwa yanapandia huko
Hapana,angalia tank no 7 ndo litaanza kwa sababu maji yakiingia yataanzia chini kule kisha ystakuwa yanapanda juu taratibu.Tank no 11
Tank namba 7 litajaa kwanza, likifuatiwa na namba 11, halafu namba 10, halafu namba 6, namba 5, namba 4, namba 3, namba 2 halafu namba 1 litajaa mwisho!
7