Chelsea midfielder John Obi Mikel moves to Chinese Super League

Kurzweil

JF-Expert Member
May 25, 2011
6,622
8,397
Mwanasoka kutoka Nigeria, Mikel John Obi(29) amejiunga rasmi na klabu ya Tianjin TEDA ya nchini China akitokea klabu ya Chelsea ya Uingereza ambapo katika klabu hiyo mpya atalipwa kiasi cha Pauni £140,000 kwa wiki.

Mikel John Obi ameitumikia kwa miaka 10 klabu ya Chelsea ambapo amecheza jumla ya michezo 374 na kushinda makombe 11. Alijiunga na matajiri hao wa London akitokea nchini Norway akiwa na miaka 19.

Nahodha huyo wa Nigeria atakumbukwa kwa kiwango bora alichokionyesha katika fainali za ligi ya mabingwa ulaya mwaka 2012 siku Chelsea ilipoinyuka Buyern Munich kwa matuta na kutawazwa kuwa mabingwa wapya wa bara la Ulaya katika uwanja wa Alianz Arena.


=====
John Mikel Obi has become the latest ex-Premier League star to move to the Chinese Super League after his transfer to Tianjin TEDA was confirmed on social media.

A picture was shared on Chinese website Webo of former Chelsea midfielder Mikel shaking hands with a Tianjin club official and holding the club's shirt.

Mikel, who had been frozen out of Chelsea's first team this season with N'Golo Kante, Nemanja Matic, Nathaniel Chalobah and Cesc Fabregas ahead in the pecking roder, will reportedly earn £140,000 a week.

3BE1B7F100000578-0-image-a-28_1483663487384.jpg


The 29-year-old underwent a medical on Thursday as he prepared to become the second player to swap West London for the Far East, following Oscar who has signed for Shanghai SIPG.

The Nigerian international had held talks with Valencia, while Marseille and Inter Milan also showed interest.

Mikel spent 11 years at Stamford Bridge after controversially joining Chelsea, despite appearing at a Manchester United press conference and posing with a United shirt with his name on it.

He is understood to have signed a three-year deal, after a successful spell in England, winning the Champions League, two Premier League titles and four FA Cups.

He played in pre-season with Chelsea last summer but then left the squad to win an Olympic bronze medal with Nigeria in Rio and has not found a way back into Conte's plans since.

John-Obi-Mikel-Chelsea-774608.jpg


C1eHbchXAAAos_0.jpg

 
Back
Top Bottom