Halafu me nadhan cheka atakuwa anamuogopa maugo ingawaje huwa anampiga, mana mapambano yote anayopgana na maugo huwa hakubali kuweka mkanda,bali inakuwa n mechi ya kirafiki na siyo ya ubingwa, mimi namshauri kama anajiamini kiukweli siku moja aweke mkanda uwanjani na liwe pambano la ubingwa na siyo kirafiki.