Hawa InternetCalls/Voip wamepandisha gharama za kupiga simu mpaka cent 25 kwa dakika both kwenda landlines na mobile phones from Europe.Nisaidieni wakuu,hivi hakuna mtandao mwingine cheaper kuliko hawa?
Hawa InternetCalls/Voip wamepandisha gharama za kupiga simu mpaka cent 25 kwa dakika both kwenda landlines na mobile phones from Europe.Nisaidieni wakuu,hivi hakuna mtandao mwingine cheaper kuliko hawa?
Hawa InternetCalls/Voip wamepandisha gharama za kupiga simu mpaka cent 25 kwa dakika both kwenda landlines na mobile phones from Europe.Nisaidieni wakuu,hivi hakuna mtandao mwingine cheaper kuliko hawa?
Viber...etc ni internet yako tu! Bora unaowapigia uwanunulia simu zenye uwezo wa internet kuliko kutumia hizo Voip kwasababu baada ya muda gharama itazidi ya kuwanunulia simu. Kama wako sehemu isiyo na uwezo wa kuunganisha internet basi itabidi tu utumie Voip
Wengine hela zetu tunatafuta kihalali,tunachapa kazi na ndiyo maana tuko makini kwenye matumizi.Wengi wenu bongo mnaishi kifisadi,eti milioni 10 hela ya mboga,kwi kwi kwi
Viber...etc ni internet yako tu! Bora unaowapigia uwanunulia simu zenye uwezo wa internet kuliko kutumia hizo Voip kwasababu baada ya muda gharama itazidi ya kuwanunulia simu. Kama wako sehemu isiyo na uwezo wa kuunganisha internet basi itabidi tu utumie Voip
Hawa InternetCalls/Voip wamepandisha gharama za kupiga simu mpaka cent 25 kwa dakika both kwenda landlines na mobile phones from Europe.Nisaidieni wakuu,hivi hakuna mtandao mwingine cheaper kuliko hawa?
Itategemeana na locations zao,mimi nilifanya hivyo lakini bado nikashindwa kuwasiliana nao kwa viber n.k. sababu kule wanakoishi ni kijijini na signals ziko weak sana.Kwasasa nanunua subscription aidha dk 60=euro 13 au dk 120=23euro/mwezi via skype.
Itategemeana na locations zao,mimi nilifanya hivyo lakini bado nikashindwa kuwasiliana nao kwa viber n.k. sababu kule wanakoishi ni kijijini na signals ziko weak sana.Kwasasa nanunua subscription aidha dk 60=euro 13 au dk 120=23euro/mwezi via skype.