Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 2,439
- 6,692
Wakuu,
Huyu Michael Msechu kwa sasa ametua Zanzibar ili kuhamasisha wananchi kusheherekea maadhimisho ya miaka 61 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Akiwa huko ameandaa, msafara wa bodaboda barabarani ili kuhamasisha sherehe hizo.
Soma pia: Mhamasishaji Peter Msechu aanza ziara visiwani Zanzibar kwa ajili ya maadhimisho ya miaka 61 ya Mapinduzi ya Zanzibar
Swali: Hivi CHADEMA wanaweza kufanya hivi? Au ndo wataambiwa "wanazua taharuki"
Huyu Michael Msechu kwa sasa ametua Zanzibar ili kuhamasisha wananchi kusheherekea maadhimisho ya miaka 61 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Akiwa huko ameandaa, msafara wa bodaboda barabarani ili kuhamasisha sherehe hizo.
Soma pia: Mhamasishaji Peter Msechu aanza ziara visiwani Zanzibar kwa ajili ya maadhimisho ya miaka 61 ya Mapinduzi ya Zanzibar
Swali: Hivi CHADEMA wanaweza kufanya hivi? Au ndo wataambiwa "wanazua taharuki"